Loading...

BREAKING NEWS: HABARI YA KUSIKITISHA, AJALI MBAYA YA NDEGE YATOKEA BAADA YA RUBANI KUPOTEZA MWELEKEO....


Watu kadhaa wamenusurika baada ya ndege ya Shirika la Ndege la Auric Air waliyokuwa wakisafiria kupata ajali katika Uwanja wa Ndege wa Manispaa Bukoba ilipokuwa ikitua na rubani kupoteza uelekeo

Ndege hiyo ilikuwa imeshatua lakini ikashindwa kusimama na kupitiliza hadi mwisho wa uwanja ndipo ilipogota kwenye mtaro.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright NEWZ | Designed By AFROPIXELS MEDIA CO. LTD
Back To Top