Loading...

HABARI NZITO: PROF. LIPUMBA AKIPASUA CHAMA CHA WANANCHI "CUF" AIBUA JAMBO HILI ZITO




Prof. Ibrahim Lipumba (kushoto), aliyekuwa Mwenyekiti wa CUF akiwa na Maalim Seif Sharrif Hamad, Katibu Mkuu wa chama hicho
NDANI ya Chama cha Wananchi (CUF) kuna makundi mawili makuu, moja likimtaka Prof. Ibrahim Lipumba aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho na lingine likitaka atoswe, anaandika Happiness Lidwino.
Taarifa kutoka ndani ya chama hicho zinaeleza kuwa, kundi linalotaka atoswe limedhamiria kuvunja katiba huku kundi linalotaka arejeshwe kwenye nafasi hiyo limeapa kusimama na katiba ya chama hicho.


Taarifa zaidi zinaeleza kwamba, kundi linalotaka atoswe linafanya mkakati wa kuvunja Katiba ya mwaka 1992 Toleo 2013 Ibara ya 117 inayoeleza kwamba, “… kama hakuainisha tarehe ya kujiuzulu kwake basi mara baada ya katibu wa mamlaka iliyomteua ama kumchagua kupokea barua hiyo na kumjibu.”

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright NEWZ | Designed By AFROPIXELS MEDIA CO. LTD
Back To Top