Loading...

Mange‬ Kimambi Alia na Jeshi la Polisi Kutokana na Kukithiri kwa Matukio Kuchinjwa Kinyama, Ahoji Vipi WAPO Busy Kukamata Boda Boda na Bajaj Kama TRA



Ameandika haya katika Ukurasa wake wa Instagram..

Mangekimambi
"What's going on jamani????? 🏽🏽🏽🏽🏽🏽 it's like kuchinjana imekuwa fashion Tanzania. Dah!
Hivi polisi wanaona hili Janga? Au Ndo wako busy kutafuta na kuwabeba Kwa madefender wanaoweka status Facebook, kukusanya mapato barabarani kama TRA na kukamata bajaji na bodaboda???? " Mange Kimambi

Je Kuna Ukweli?

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright NEWZ | Designed By AFROPIXELS MEDIA CO. LTD
Back To Top