Loading...

HABARI ZA HIVI PUNDE: IKULU NAKO KIMENUKA MUDA HUU RAIS MAGUFULI KIBOKO "WATUMISHI HEWA WAPO MPAKA IKULU"




Rais Magufuli asema watumishi hewa wamejaa mpaka Ikulu, Ofisi ya Waziri mkuu, Majeshini etc.Amuagiza Katibu mkuu kiongozi kuunda "task force" yenye ulinzi maalumu ku-deal na watumishi hewa.10% ya mishahara yote nchini hulipwa kwa watumishi hewa.Serikali yapoteza Tshs Billioni 54 kwa mwezi, sawa na zaidi ya Billioni 648 kwa mwaka kulipa mishahara ya watumishi hewa.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright NEWZ | Designed By AFROPIXELS MEDIA CO. LTD
Back To Top