Loading...

Huh! eti kwa Naj, Baraka kafuata mapene

naj-2
naj-2
Naj na Baraka
Msanii wa Bongo Fleva, Baraka de Prince kwa sasa kafa kaoza kwa msanii mwenzake Naj ila madai yaliyopo mtaani ni kwamba, mshikaji huyo kajiweka kwa Naj kwa kuwa demu ana mkwanja ile mbaya.
Inadaiwa Naj akimpenda mtu ni lazima atampata kutokana na jeuri ya pesa aliyonayo na ndiyo maana alipojilengesha kwa Baraka ikawa kama kumsukuma mlevi.
Akizungumzia madai kuwa kampenda Naj kwa sababu ya mapene, Baraka alisema: “Hayo ni maneno ya watu tu, sisi tunapendana kwa dhati na hayo madai kuwa nimempenda kwa sababu ya mapene siyo kweli.”

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright NEWZ | Designed By AFROPIXELS MEDIA CO. LTD
Back To Top