Loading...

Lulu Afunguka Kama Alimwibia Hamisa Mobeto Mchumba Wake

Lulu na Majay ni couple ya watu wawili maarufu hapa Bongo, ilianza kama tetesi mwanzoni ila Lulu akaja kufunguka mwenyewe kua wao ni wapenzi. Ila ikumbukwe kua Majay kabla ya kua na Lulu alikua na uhusiano wa Kimapenzi na Hamisa Mobeto. Hadi kupelekea kupata mtoto wa kike.

Habari zilizozagaa mtaani ni kua Lulu alimwiba Majay kwa Hamisa Mobetto. Ila kwa kipindi kilefu Lulu alikua hajasema lolote kuhusiana na hilo. Hatimae lulu kafunguka ukweli kuhusiana na yeye kumwibia bwana Hamisa, mskilize hapa chini ..... 

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright NEWZ | Designed By AFROPIXELS MEDIA CO. LTD
Back To Top